Askofu Amani asimulia Sokoine alivyosaidia jamii ya wamasai
Monduli. Askofu wa Jimbo Kuu Katoliki la Arusha, Isack Amani amesema aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, hayati Edward Sokoine alikuwa kiongozi mzalendo, hodari, mkereketwa, mwenye mawazo ya...